
Furaha ya ushindi mjini New York
Zaidi ya
nusu ya kura zilizohesabiwa katika uchaguzi wa awali wa urais nchini
marekani katika mji wa New york,zinaonesha kwamba Donald Trump na
Hillary Clinton wamepata ushindi mkubwa Zaidi ndani ya vyama vyote
viwili.
Hillary
Clinton ambaye amemshinda mpinzani wake Bernie Sanders kwa ushindi
mkubwa ameeleza katika hotuba yake kuwa ushindi wa chama chake cha
Democratic umeweza kuwaunganisha zaidi wapinzani wake kuwa wamoja Zaidi
ya kuwagawa.
Hata
hivyo New York inatajwa kuwa ngome nyingine ya Donald Trump,ambapo Cruz
yeye hesabu za kura zake zimeonekana kugoma mapema kabisa katika chama
chake cha Repubilcan .
Wakati
Hillary Clinton amemshinda mpinzani wake Bernie Sanders kwa ushindi
mkubwa .Hillary amewaambia wapinzani wake kuwa kuna la ziada
linalowafanya wawe wamoja Zaidi ya kuwagawa.BBC
SHARE
No comments:
Post a Comment