Kamishina
Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (katikati), akiwasili
katika viwanja vya Shule ya Msingi Msimbazi Mseto jijini Dar es Salaam
baada ya kushiriki matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya Watoto
wenye Usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.

Kamishina
Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kushoto), akipeana mkono
na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), mara baada ya
kushiriki matembezi ya hiariya kuadhimisha siku ya watoto wenye
usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Katikati
ni Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia Watu Wenye Usonji Tanzania (NAPAT),
Dk. Stella Rwezaula.
Baadhi ya watu waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Watoto wenye Usonji.
Wazazi waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Watoto wenye Usonji.
Baadhi ya wanachama wa Lions Club of Dar es Salaam Mzizima ambao walikuwa wadhamini wa maadhimisho hayo.(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment