Mkurugenzi
Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akihojiwa na
waandishi wa habari katika mkutano wa wadau wa Utafiti wa Viashiria na
Matokeo ya UKIMWI Tanzania wa mwaka 2016/2017 uliofanyika jana jijini
Dar es Salaam. Utafiti huo utafanyika nchi nzima kuanzia mwezi Agosti,
2016.
Mwenyekiti
wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Fatuma Mrisho
akielezea umuhimu wa Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania
wa mwaka 2016/2017 katika mkutano wa wadau wa utafiti huo uliofanyika
jana jijini Dar es Salaam. Utafiti huo utafanyika nchi nzima kuanzia
mwezi Agosti, 2016.
Mkurugenzi
Mkazi wa ICAP Tanzania Dkt. Fernando Morales akizungumza katika Mkutano
wa Wadau wa Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania wa mwaka
2016/2017 uliofanyika jana jijini Dar es Salaam. Utafiti huo utafanyika
nchi nzima kuanzia mwezi Agosti, 2016.(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment