Naibu
Katibu Mkuu wa CCM,-Bara, Rajab Luhwavi akisalimiana na Mwenyekiti wa
CCM mkoa wa Manyara, Luccas Ole Mukusu, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM
mkoa huo, mjini Babati, leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa
huo Ndegesu Ndekobali.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM,-Bara, Rajab Luhwavi akisalimiana na baadhi ya
watumishi wa CCM mkoa wa Manyara, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM mkoa
huo, mjini Babati, leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa huo
Ndegesu Ndekobali.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akisaini Kitabu cha wageni katika
Ofisi ya CCM mkoa wa Manyara, baada ya kuwasili mjini Babati leo Mei
30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM wa mkoa huo, Ndegesu Ndekobali.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akisaini Kitabu cha wageni katika
Ofisi ya CCM mkoa wa Manyara, baada ya kuwasili mjini Babati leo Mei
30, 2016. Kushoto ni Katibu wa CCM wa mkoa huo, Ndegesu Ndekobali.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi (kulia) akizungumza na Mkuu wa
mkoa wa Manyara Joel Bendera alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa,
mjini Babati leo Mei 30, 2016. Kushoto ni Afisa Tawala wa mkoa huo,
Eliakim Maswi.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi (kulia) akizungumza na Mkuu wa
mkoa wa Manyara Joel Bendera alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa,
mjini Babati leo Mei 30, 2016.
wakiagana baada ya mazungumzo.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akiagana na Afisa Tawala wa mkoa
wa Manyara Eliakim Maswi baada ya mazungumzo na mkuu wa mkoa huo Joel
Bendera (Katikati), alipoenda ofisini kwa mkuu huyo wa mkoa, mjini
Babati leo Mei 30, 2016.
AKAGUA JENGO LA OFISI YA CCM LILILOUNGUA MWEZI MACHI MWAKA HUU
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi (kulia) apata maelezo kutoka kwa
Katibu wa CCM mkoa wa Manyara, Ndegesu Ndekobali, alipokagua athari za
kuungua jengo la CCM mkoa huo, lililopo mjini Babati. Jengo hilo
liliungua Machi 7 mwaka huu.
Luhwavi akimaliza kukagua jengo hilo.
Baadhi
ya viongozi wa CCM wakimkaribisha Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajabu
Luhwavi kuzungumza nao leo katika ukumbi wa Ofisi ya CCM mkoa wa Manyara
mjini Babati
Luhwavi akiingia ukumbini.
Luhwavi akiwa tayari ukumbini.
Katibu wa CCM wa mkoa wa Manyara, Ndekobali akitoa neno la utangulizi.
Baadhi ya watunishi wa CCM kutoka wilaya za mkoa wa Manyara wakimsikiliza Luhwavi.
Masoud Mbengua kutoka Kitengo cha Usalama na Maadili, Makao Makuu ya CCM akizungumza kwenye kikao hicho.
Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Manyara akimkaribisha Luhwavi kuzungumza
SHARE
No comments:
Post a Comment