TRA

TRA

Sunday, August 28, 2016

Assumpter Mshama aliona gari la mfano la zimamoto litakalotengenezwa nchini

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


zim01
Mkuu wa wilaya ya Kibaha ,Assumpter Mshama ,akielezwa jambo na mkurugenzi mtendaji wa kiwanda cha Equator Suma  Jkt , Robert Mangazeni,kuhusu kiwanda hicho kinachotarajiwa kutengeneza matrekta na magari ya zimamoto,kilichopo RuvuJkt ,Mlandizi mkoani Pwani.(Picha na Mwamvua Mwinyi)
zim1
Gari la  zimamoto litakalokuwa la  mfano kutengenezwa katika kiwanda cha Equator Suma  Jkt kilichopo Ruvu Jkt,Mlandizi mkoani Pwani, likionekana namna litakavyokuwa likirusha maji kwa kutumia mipira miwili kwa mara  moja,kiwanda hicho kitakapokamilika  kitakuwa na uwezo wa kutengeneza magari ya zimamoto 50 na matrekta 3,000 kwa mwaka.(Picha na Mwamvua Mwinyi)
zim2
Gari la  zimamoto litakalokuwa la  mfano kutengenezwa katika kiwanda cha Equator Suma  Jkt kilichopo Ruvu Jkt,Mlandizi mkoani Pwani, likionekana namna litakavyokuwa likirusha maji kwa kutumia mipira miwili kwa mara  moja,kiwanda hicho kitakapokamilika  kitakuwa na uwezo wa kutengeneza magari ya zimamoto 50 na matrekta 3,000 kwa mwaka.(Picha na Mwamvua Mwinyi)
zim3
zim4
Mkuu wa wilaya ya Kibaha, Assumpter Mshama akizungumza na baadhi ya watendaji na viongozi ,katika kiwanda cha Equator Suma  Jkt ,kilichopo Mlandizi Ruvu Jkt Mkoani Pwani kabla ya kukitembelea.(Picha na Mwamvua Mwinyi)(P.T)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger