
Naibu waziri Ofisi ya rais, Tamisemi, Selemani Jafo, akizungumza na wananchi nje ya kiwanda cha kukamulia alizeti mjini Chato.

Naibu waziri Ofisi ya rais, Tamisemi, Selemani Jafo, akikagua mashine za kukamulia mafuta ya alizeti mjini Chato.

Mkurugenzi wa mji wa Kahama, Andason Msumba akitoa maelezo kwa Naibu waziri Ofisi ya rais, Tamisemi, Selemani Jafo kuhusu mgogoro wa soko wanalolitaka wananchi kutumika kwa maslahi ya wananchi wa mji huo.

Naibu waziri Ofisi ya rais, Tamisemi, Selemani Jafo, akiwa katika harambe ya kuchangia madawati mkoani Geita, kulia kwake ni Mkuu wa mkoa huo Meja jenerali mstaafu Ezekiel Kiunga pamoja na Mwenyekiti wa harambee hiyo, Ignas Inyasi.
SHARE








No comments:
Post a Comment