TRA

TRA

Tuesday, August 30, 2016

NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA 11 YA BIASHARA YA AFRIKA MASHARIKI YANAYOFANYIKA JIJINI MWANZA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Dk. Leonard Masale ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza akizungumza na waandishi wa habari katikabanda la NSSF mara baada ya kufungua rasmi maonesho ya 11 ya Biashara ya Afrika Masharikialipotembelea banda la NSSF.
Mwakilishi wa Meneja Kiongozi NSSF Mwanza, Aloyce Limu akizungumza na waandishi wa habari.

Ofisa Mafao wa NSSF, Farida Mkande akitoa elimu kuhusu mafao ya NSSF.
Ofisa Uandikishaji wa NSSF, Kwandu Ikombe akimsajili mwanachama baada ya kuelewa somo na kuamua kujisali kama mwanachama wa hiari.
 Ofisa Mafao wa NSSF, Farida Mkande akigawa vipeperushi vya taarifa kuhusu NSSF.
Ofisa Mafao wa NSSF, Farida Mkande akitoa elimu kuhusu mafao ya NSSF.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger