TRA

TRA

Wednesday, August 17, 2016

Wanajeshi wa AU waliouza mafuta Somalia wafungwa

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Hii ndiyo mara ya kwanza wanajeshi wa AU kuhukumiwa nchini Somalia
Hii ndiyo mara ya kwanza wanajeshi wa AU kuhukumiwa nchini Somalia
Walinda amani tisa wa Muungano wa Afrika wamefungwa jela kwa kushiriki katika bishara ya uuzaji mafuta nchini Somalia.
Wanajeshi hao ambao wote ni kutoka nchini Uganda, wamehukumiwa vifungo vya kati ya mwaka moja na miaka mitatu na mahakama ya kijeshi ya Uganda.
Watatu kati ya wanajeshi hao pia wamefutwa kutoka jeshini.
Hii ndiyo mara ya kwanza mahakama ya kijeshi ya Muungano wa Afrika, imefanya kikao nchini Somalia tangu wanajeshi hao wapelekwe nchini humo miaka tisa iliyopita.
Uganda ndiye mchangiaji mkubwa wa wanajeshi wa kikosi cha wanajeshi 22,000, kinachopigana na wanamgambo nchini Somalia. BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger