Naibu
Waziri wa Nchi Ofis ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Luhaga
Mpina akisisitiza jambo kwa kaimu mkurugenzi wa Uzalishaji na usambazaji
wa maji Dawasco Injinia Aroun Joseph mara baada kufanya ziara ya
kukagua miundo mbinu ya dawasco.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofis ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh.Luhaga
Mpina akitoa maelekezo kwa Mwanasheria kutoka Baraza la Usimamizi wa
Mazingira Nchini NEMC Manchare Heche jinsi ya kuweza kushughulikia
tatizo la utririshaji maji taka.
Kaimu
Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji maji kutoka Dawasco
injinia Aroun Joseph akielezea jambo mbele ya naibu waziri
Mh.Luhaga Mpina mara baada ya kufanya ziara ya ukaguzi wa miundo mbinu
ya Dawasco (P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment