
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
Doto James kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango.

Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakiwa
katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Fedha na Mipango Doto James
mara baada ya kuapishwa.(P.T)
SHARE








No comments:
Post a Comment