TRA

TRA

Tuesday, September 6, 2016

Tume ya Mipango: Mwongozo wa Uwekezaji Usaidie kuibua Miradi Sahihi.

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Baadhi ya washiriki wakijadiliana jambo baada ya kupata mafunzo juu ya uwekezaji katika miradi ya umma.
Naibu Katibu Mtendaji –Uchumi jumla kutoka Tume ya Mipango Bi. Lorah Madete, akiwaonyesha maafisa mipango kutoka mikoa ya Arusha, Tanga, na Kilimanjaro mwongozo wa kusimamia uwekezaji wa miradi ya Umma.

Washikiri wa mafunzo ya Uwekezaji katika miradi ya umma wakifuatilia kwa makini mafunzo.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger