
Jaji Mkuu
wa Tanzania Mheshimiwa Mohamed Chande Othman akifungua Mkutano wa siku
mbili wa Kimataifa unaojadili masuala ya Haki kimataifa leo jijini
Arusha. Mkutano huo umeandaliwa na Africa Group for Justice and
Accountability. PICHA NA LYDIA CHURI-MAHAKAMA

Jaji Mkuu
wa Tanzania Mheshimiwa Mohamed Chande Othman (Katikati) akijadiliana
jambo na Mjumbe wa Africa Group for Justice and Accountability na
aliyekuwa Mwendesha Mashitaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya
Kimbari ya Rwanda (ICTR) Mheshimiwa Hassan Bubacar Jallow kabla ya
kuanza kwa Mkutano wa Kimataifa unaojadili masuala ya Haki kimataifa leo
jijini Arusha.

Wajumbe
wa Mkutano wa Kimataifa unaojadili masuala ya Haki Kimataifa
wakimsikiliza Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mohamed Chande Othman
(Hayupo Pichani) wakati akifungua mkutano huo leo jijini Arusha. Wa
kwanza kushoto ni aliyekuwa Rais wa Serikali ya Mpito ya Jamhuri ya
Afrika ya Kati na Mjumbe wa Africa Group for Justice and Accountability
Mheshimiwa Catherine Samba-Panza.

Jaji Mkuu
wa Tanzania Mheshimiwa Mohamed Chande Othman akifungua Mkutano wa siku
mbili wa Kimataifa unaojadili masuala ya Haki kimataifa leo jijini
Arusha. Mkutano huo umeandaliwa na Africa Group for Justice and
Accountability.

Jaji Mkuu
wa Tanzania Mheshimiwa Mohamed Chande Othman akishiriki kwenye Mjadala
kuhusu masuala ya Haki kimataifa leo jijini Arusha.

Wajumbe
wa Mkutano wa Kimataifa unaojadili masuala ya Haki Kimataifa kutoka nchi
mbalimbali wakiwa kwenye Majadiliano leo jijini Arusha. Baadhi ya
wajumbe wa Mkutano wamewakilisha nchi za Senegal, Afrika ya Kusini,
Sierra Leone, Uganda, Tanzania, Kenya, na Botswana. (P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment