TRA

TRA

Monday, October 31, 2016

kampuni mpya ya Bima ya Clarckson ikizinduliwa jijini Dar es salaam TPSF yakaribisha ubunifu zaidi kwenye sekta ya hiyo nchini

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 
2b
Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa Kampuni  ya Clarkson Insurance Brokers inayojishughulisha na masuala ya bima Bw. Godfrey Simbeye ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF akionyesha zawadi aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Kampuni ya Clarkson Insurance Brokers Justin Lambert mara baada ya uzinduzi wa kampuni hiyo uliofanyika kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
cl9
Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa Kampuni  ya Clarkson Insurance Brokers inayojishughulisha na masuala ya bima Bw. Godfrey Simbeye ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF akizungumza wakati alipozindua Kampuni ya bima ya Clarkson Insurance Brokers kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
cl01
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Parkal Randall ambayo ni Kampuni Tanzu ya Clarkson Insurance Brokers Bw. Coutts Otolo akizungumza  kwenye uzinduzi wa kampuni ya Clarkson Insurance Brokers inayojishughulisha na masuala ya bima, katika uzinduzi uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki
cl1
Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed Othman Chande akisalimiana na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Biashara wa Kampuni ya JUNACO Group Of Companies Limited ambayo ni Mwanahisa Mzawa Bw. Anic Kashasha wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya Clarckson Insurance Brokers jijini Dar es salaam.
cl002
Mwenyekiti wa Kampuni ya Clarkson Insurance Brokers Justin Lambert akizungumza wakati wa  uzinduzi wa kampuni hiyo uliofanyika kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es salaam.
cl10
Meneja Mkuu wa Kampuni hiyo Tanzania Bw.Patrick Marimo akifafanua jambo kwa waandishi wa habari .
3b
Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed Chande Othman  akizungumza na Balozi Mstaafu Peter Kalaghe  wakati wa uzinduzi wa kampuni ya  Clarkson Insurance Brokers inayojishughulisha na masuala ya bima katika uzinduzi uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya  Hyyat Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Parkal Randall ambayo ni Kampuni Tanzu ya Clarkson Insurance Brokers Bw. Coutts Otolo.
4b
Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Mohamed Chande Othman akimsikiliza Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Parkal Randall ambayo ni Kampuni Tanzu ya Clarkson Insurance Brokers Bw. Coutts Otolo wakati walipokuwa wakibadilishana mawazo kwenye uzinduzi wa kampuni ya Clarkson Insurance Brokers inayojishughulisha na masuala ya bima, katika uzinduzi uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki
cl1
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Parkal Randall ambayo ni Kampuni Tanzu ya Clarkson Insurance Brokers Bw. Coutts Otolo wa tano kutoka kulia na Justin Lambert Mwenyekiti wa Kampuni ya Clarkson  wakikata keki kuashiria uzinduzi wa kampuni hiyo katika ofisi yao iliyopoghorofa ya nane  jengo la IPS Mtaa wa Samora  jijini Dar es salaam kabla ya uzinduzi rasmi.(P.T)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger