Makamu wa
Rais, Mama Samia Suluhu akiongoza Kikao cha Kamati ya Pamoja ya
Serikali ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya MapinduzI ya Zanzibar
kuhusu masuala ya Muungano kilichofanyika kwenye ukumbi wa zamani wa
Baraza la Wawakilishi mjini Zanzibar, Januari 13, 2017. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya
wajumbe wa Kamati ya pamoja ya Serikali ya Muungano wa Tanzania na
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakimsikiliza Makamu wa Rais, Mama
Samia Suluhu wakati alipoongoza kikao chao kwenye ukumbi wa zamani wa
Baraza la Wawakilishi mjini Zanzibar Januari 13, 2017. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu
Baadhi
ya wajumbe wa Kamati ya pamoja ya Serikali ya Muungano wa Tanzania na
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakimsikiliza Makamu wa Rais, Mama
Samia Suluhu wakati alipoongoza kikao chao kwenye ukumbi wa zamani wa
Baraza la Wawakilishi mjini Zanzibar Januari 13, 2017. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu.(P.T)
SHARE
No comments:
Post a Comment