TRA

TRA

Tuesday, April 25, 2017

MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA KUMI NA MBILI MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO APRIL 25, 2017.

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Mwenyekiti  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Andrew Chenge akiongoza kikao cha kumi na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017.


Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Suleiman Jafo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha kumi na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Ajira Kazi na watu wenye Ulemavu  Mhe. Jenista Mhagama akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha kumi na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017.


Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Isack Kamwelwe akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017.


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamadi Masauni akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017. 

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017. 


Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Nyonyani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017. 


Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura Nyonyani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017. 


Mbunge wa Karagwe (CCM) Mhe Innocent Bashungwa akiuliza swali  katika  kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 


Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Mhe. Sabrina Sungura akiuliza swali  katika  kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017. 


Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mhe. Hamida Mohamed Abdallah akiuliza swali  katika  kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017. 


Mbunge wa (CCM) Mhe. Albert Obama Ntabaliba akiuliza swali  katika  kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 25, 2017. 



Mbunge wa Karagwe (CCM) Mhe Innocent Bashungwa akiuliza swali  katika  kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger