TRA

TRA

Sunday, April 23, 2017

DE GEA SAFARI YA KUREJEA MADRID "IMEKWIVA", ALIWEKA SOKONI JUMBA LAKE LA KIFAHARI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Dalili zote sasa kwamba kipa, David De Gea wa man United atarejea Hispania na kujiunga na vigogo, Real Madrid.

Hii inatokana na uamuzi wa kips huyo aliyejiunga na Man United mwaka 2011 akitokea Atletico Madrid kuliweka sokoni jumba lake la kifahari analoishi.

De Gea ametangaza kuliuza jumba hilo lenye thamani ya pauni million 3.85.

Kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa, Madrid imekuwa ikipambana kumpata De Gea ambaye anaonekana ndiye kipa tegemeo wa timu ya taifa ya Hispania.







Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger