TRA

TRA

Wednesday, April 19, 2017

Talaka zinapingana na utamaduni wetu, zifutwe– Mfalme Mswati

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Ni kazi yangu ni kuhakikisha haupitwi na chochote kila siku, leo nimeipata hii kutoka nchini Swaziland ambapo Mfalme Mswati III ameagiza kufutwa kwa utaratibu wa Talaka akidai kuwa hauendani na tamaduni za nchi hiyo.
Mfalme Mswati ametoa kauli hiyo kwa viongozi wa dini na kuwaagiza kujadili kuhusu suala hilo na kuwashawishi wananchi ili sheria ipitishwa na kuanza kutumika rasmi ingawa agizo hilo limeonekana kupingwa na wanawake ambao inasemekana wamekuwa wakiendeshwa na mfumo dume zaidi nchini humo.

View image on TwitterView image on Twitter

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger