TRA

TRA

Monday, April 24, 2017

WANAFUNZI WA TANZANIA KUTOKA CHUO KIKUU CHA ISTAMBUL UTURUKI WAHEREHEKEA MIAKA 53 YA MUUNGANO

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma Chuo Kukuu cha (Istanbul Technical University (ITU)uturuki wakisherekea siku ya muungano jana mjini Istanbul mjini Istambul , sherehe hizo zimefanyika ikiwa ni kuadhimisha miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo walishiriki katika michezo mbalimbali na burudani fuatilia matukio ya picha chini ili kujua sherehe zilivyokuwa.

(Photos by Doreen Mlote, Engineering Student ITU ) .

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger