• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, May 2, 2017

Home > > Clinton: Nalaumu FBI na wadukuzi wa Urusi

Clinton: Nalaumu FBI na wadukuzi wa Urusi

at 11:37 PM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Aliyekuwa mgombea wa urais nchini Marekani Hillary Clinton amewalaumu wadukuzi wa Urusi na mkurugenzi wa Ujasusi nchini humo kwa kushindwa kwake katika uchaguzi mkuu uliopita.

Aliambia mkutano mjini New York kwamba angeshinda kura hiyo iwapo uchaguzi huo ungefanyika tarehe 20 mwezi Oktoba kabla ya kuchapishwa kwa barua ya mkurugenzi wa FBI James Comey akilielezea bunge la seneti kwamba FBI imeanzisha uchunguzi kuhusu hatua yake ya kutumia barua pepe za binafsi.



 Hillary Clinton amelilamu shirika la FBI na wadukuzi wa Urusi kwa kushindwa kwake katika uchaguzi mkuu 

Alisema kwamba alikuwa amefanya kampeni nzuri na akapoteza kutoka na maswala yaliofanyika katika kipindi cha siku kumi za mwisho.

Anasema kuwa sasa amerudia uanaharakati akisema hatua yake inalenga kuweka upinzani mkali dhidi ya rais Trump ambaye amemkosoa kwa sera zake za kigeni mbali na utumizi wake wa mtandao wa Twitter.
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
      Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
  • Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
    Mahakama ya juu ya Urusi imepitisha uamuzi unaopiga marufuku madhehebu ya Mashahidi wa Yehova nchini humo.  Uamuzi huo umeamuru kufu...
  • Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
    Baraza la uangalizi nchini Iran limemzuia rais wa zamani wa nchi hiyo Mahmoud Ahmadinejad kuwa mgombea katika uchaguzi wa rais utakaofan...

Popular Posts

  • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
    ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
      Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
  • Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
    Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
    Mahakama ya juu ya Urusi imepitisha uamuzi unaopiga marufuku madhehebu ya Mashahidi wa Yehova nchini humo.  Uamuzi huo umeamuru kufu...
  • Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
    Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
    Baraza la uangalizi nchini Iran limemzuia rais wa zamani wa nchi hiyo Mahmoud Ahmadinejad kuwa mgombea katika uchaguzi wa rais utakaofan...
  • SERIKALI IMETENGA SHILINGI BILIONI 11.4 KUBORESHA WAKALA WA NDEGE ZAKE
    SERIKALI IMETENGA SHILINGI BILIONI 11.4 KUBORESHA WAKALA WA NDEGE ZAKE
    Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye akiongea na wajumbe wa Menejimenti ya Wakala wa Ndege za S...
  • DAAH. DSTV KIBOKO HEBU NENDA SABASABA UONE MAMBO YAO
      Meneja Masoko wa Multichoice-Tanzania, Alpha Mria  na Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania Shumbana Walwa kushoto  ...
  • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
    ...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger