Macron ndiye rais wa umri mdogo zaidi kuwahi kuchaguliwa Ufaransa
"Wafaransa wenzangu, mlioko ndani na nje ya ufaransa, baada ya vita ya muda mrefu vya kidemokrasia, na kuchagua kuweka imani yenu juu yangu. Ningependa kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa heshima kubwa," amesema.
Macron anasema ni heshima kubwa na mmenipa wajibu mkubwa wa kutekeleza, bila kauli yoyote kwangu, natoa shukrani zangu za dhati kutoka ndani ya moyo wangu.

Wafuasi wa Macron wakisherehekea eneo la Louvre mjini Paris
"Shukrani hizi zimfikie kila mmoja wenu, kwa kura yako na kuniunga mkono. Sitasahau kamwe, nitakuwa muangalifu sana na nitahakikisha kwa nguvu zangu zote naheshimu imani yenu kwangu."
- Waziri mkuu apigwa kofi Ufaransa
- Putin afuta ziara nchini Ufaransa
- Polisi ''amfufua'' mwanamke aliyedaiwa kufariki Ufaransa
Wafuasi wa Macron wakisherehekea nje ya Louvre, Paris
"Watu wa Ufaransa wamemchagua rais wa Jamhuri, na wameamua kuwa na muendelezo. Nimempigia simu bwana Macron kumpongeza kutokana na ushindi wake kwasababu nina wiwa moyoni mwangu na ninaitakia mema nchi hii.
"Nimemtakia mafanikio mema katika changamoto zinazoikabili Ufaransa. Ningependa kuwashukuru raia wa Ufaransa milioni kumi na mmoja, ambao waliamua kunipa mimi sauti zao na imani yao juu yangu, pamoja na wanaharakati, ambao waliniunga mkono na kunipa ushirikiano wakati wote wa kampeni.
"Nina furaha kubwa, kwa sababu ni ushindi mkubwa kwa Ulaya yote, ni ushindi kwa ulaya, ni mkubwa. Wafaransa walionesha furaha yao.
"Ushindi mkubwa wa asilimia sitini na tano, hatukulitarajia hilo, na, ndio hivyo, ni utawala mwingine kwa Ufaransa. Huwezi kuamini, nina matumaini kwamba naamini atapata uungwaji mkono katika uchaguzi wa wabunge mnamo mwezi Juni na huenda ukaleta mabadiliko makubwa nchini. Itastaajabisha."
SHARE
No comments:
Post a Comment