TRA

TRA

Friday, May 19, 2017

LEYLA RASHID KUACHANA NA MUZIKI WA TAARAB

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 
 
MUIMBAJI wa Kundi la Jahazi Modern Taarab, Leyla Rashid, amefunguka kuwa tangu mumewe Mzee Yusuf aache kuimba Muziki wa Taarab, amekuwa hana mzuka kama zamani zaidi ya kutamani na yeye amrudie Mungu kama mumewe.

Leyla aliiambia Showbiz Xtra kuwa tangu mumewe aache kuimba na kumrudia Mungu amekuwa hana mzuka kivile wa kuimba na anatamani kumfuata mumewe ingawa bado anafikiria.
“Ukweli naimba tu lakini sina munkari kama zamani hasa baada ya mume wangu kujitoa kwenye kundi na kumrudia muumba, sijaacha rasmi kuimba ila nafikiria zaidi kumfuata mume wangu katika kumtumika Mwenyezi Mungu,” alisema.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger