TRA

TRA

Monday, May 29, 2017

TASWIRA TATU YA GARI ALILOPATA NALO AJALI JONAS MKUDE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !




Shabiki mmoja amefariki dunia katika ajali ya gari katika eneo la Dumila mkoani Morogoro, ndani ya gari hilo alikuwamo nahodha wa Simba, Jonas Mkude.

Mkude ni kati ya majeruhi na wengine watatu pia wameumia na tayari wako njiani wakitoka Dumila kupelekwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro.


Mmoja wa Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Muslah Al Rawah amethibitishwa kwa majeruhi hao kupelekwa Morogoro.

 Mkude alikuwa njiani kutoka Dodoma kurejea Dar es Salaam baada ya jana Simba kuitwanga Mbao FC kwa mabao 2-1 na kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho.


Mkude alikuwa katika gari na baadhi ya mashabiki wa Simba na gari lilipasuka tairi na kuanguka. Mtu mmoja amefariki dunia.


 

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger