TRA

TRA

Wednesday, May 31, 2017

UNICEF NA UNHCR WATOA ELIMU KUHUSU HAKI ZA WATOTO WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA.

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


unnamed
Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Watoto Duniani (UNICEF) Bibi. Stephenie Shanler akizungumza na washiriki wa mkutano maalum (hawapo pichani) wa  utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma.
2
 Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi Duniani (UNICEF) Bw. Raymond Chikwanda  akifafanua jambo kwa washiriki wa mkutano maalum(hawapo pichani)  wa utoaji  elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma.
4
Kamishna wa Ustawi wa Jamii  Bw. Rabikira Mushi akizungumza katika mkutano maalum ulioandaliwa na UNICEF na UNHCR kwa ajili ya kutoa elimu kuhusu Haki za watoto wakimbizi kwa washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini leo Mei 31,2017 mkoani Kigoma.
3
 Afisa Ustawi wa Jamii Mwandamizi kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Bw.Darius Damas  akifafanua jambo kwa washiriki wa mkutano maalum(hawapo pichani)  wa utoaji elimu juu ya Haki za watoto wakimbizi unaoendelea kwa siku mbili mkoani Kigoma.
5
 Baadhi ya washiriki kutoka Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto ,Wizara ya Mamboya Ndani, Ofisi ya Waziri Mkuu, na Taasisi na Mashirika yanayotetea Haki za Watoto nchini wakifuatilia mkutano maalum wa utoaji elimu juu ya  Haki za watoto wakimbizi  unaofanyika  mkoani Kigoma.
Picha zote na Raymond Mushumbusi MAELEZO Dodoma.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger