Hakuna uzalendo zaidi ya kulinda rasilimali za Taifa, Hakuna utetezi
wa wanyonge zaidi ya kulinda rasilimali zao.Hongera sana Mh.Rais kwa
uzalendo wa vitendo kwa Taifa letu.
Naelekeza wote waliotajwa kuhusika hakuna kutoka nje ya mipaka ya nchi
yetu isipokuwa kwa kibali maalum kutoka serikalini. Vyombo vitekeleze
maagizo ya Rais kwa utimamu.
No comments:
Post a Comment