Tumejadiliana kuhusu nia ya Serikali ya Indonesia kufanya kazi na Serikali ya Tanzania kwenye kuendeleza zao la Mchikichi.
Kikao hiki kiliandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, na Afisa wa Mambo ya nje ndugu Luhangisa alihudhuria mazungumzo yetu.
Mazungumzo hayo pia yaligusia mahusiano kati ya Mji wa Bojonegoro wa Indonesia na Mji wa Kigoma Ujiji wa Tanzania.
Meya wa Mji wa Bojonegoro na Meya wa Kigoma Ujiji tayari wana mawasiliano baada ya kukutana kupitia Mpango wa OGP ambao miji miwili hii ni wanachama.
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Mbunge - Kigoma Mjini, ACT Wazalendo
Juni 23, 2017
Dar es salaam
Mbunge - Kigoma Mjini, ACT Wazalendo
Juni 23, 2017
Dar es salaam
SHARE
No comments:
Post a Comment