TRA

TRA

Tuesday, June 13, 2017

Gavana wa zamani afungwa miaka 14 Brazil

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mahakama nchini Brazil imemuhukumu gavana wa zamani wa jimbo la Rio de Janeiro, Sergio Cabral  miaka 14 gerezani kwa kuhusika katika rushwa na utakatishaji wa fedha.

Cabral anatajwa kuhusika kwenye upokeaji wa mamilioni ya dola katika miaka nane aliyokuwa madarakani.
 
Sergio Cabral alihusika kwa kiasi kikubwa kwenye ujenzi wa miundombinu kwa ajili ya michuano ya Olimpiki

Fedha hizo ni sambamba na zile za makampuni yaliyopata mkataba wa kujenga miundombinu wakati wa michuano ya Olimpiki. 

Jaji Sergio Moro ambaye ndiye aliyetoa hukumu hiyo amesema hakuna ushahidi wa kutosha kama mke wa Cabral aitwaye Adriana Ancelmo ambaye pia ni mwanasheria maarufu nchini humo alihusika.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger