TRA

TRA

Tuesday, June 13, 2017

Benki ya Dunia kutoa dola milioni 50 Somalia kukabili ukame

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Benki ya Dunia inatarajia kutoa dola milioni 50 kama msaada wa dharura nchini Somalia ambayo imeathiriwa kwa kiasi kikubwa na ukame mkali.

Katika kikao chake mjini Kenya, benki za maendeleo zimesema kuwa zimekuwa zikiongeza misaada Somalia kuziba pengo la wafadhili waliojitoa.

 
Benki ya maendeleo ya Afrika ilisema mwezi uliopita kuwa ingetoa zaidi ya dola bilioni moja kukabiliana na ukame katika bara la Afrika.

Sehemu kadhaa za bara la Afrika zinakumbana na ukame mkali huku zaidi ya watu milioni 26 wakikabiliwa na njaa kali.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger