TRA

TRA

Friday, June 9, 2017

Hotel ya kisasa aliyonunua staa wa FC Barcelona Lionel Messi

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Staa wa soka wa FC Barcelona na timu ya Taifa la Argentina Lionel Messi amenunua Hotel ya kisasa yenye hadhi ya Nyota 4 iliyopo karibu na Beach mwendo wa kilomita 40 kutoka katika mji wa Barcelona.
Mtandao maarufu wa The Mirror umeripoti kuwa Hotel hiyo ya kifahari yenye vyumba 77 imejengwa mwaka 2013 na imenunuliwa kwa Pound 26m ambapo gharama ya kulala kwa usiku mmoja ni kati ya euro 250 hadi euro 300.
Ikumbukwe pia kuwa Lionel Messi alianzisha kampuni yake inayoitwa Rosotel hivi karibuni ambayo inahusika na uwekezaji katika Hotel na Apartments.







Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger