Mjadala kuhusu kodi za nyumba umeibuka bungeni leo na kusababisha serikali kutoa msimamo wa suala hilo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, George Simbachawene alisema ni marufuku kwa halmashauri kutoza kodi nyumba za tembe, nyumba za bati pamoja na zilizojengwa kwa ajili ya makazi.
SHARE
No comments:
Post a Comment