Idadi ya watu wanaojivinjari kwa mvinyo imepungua, kulingana na ripoti ya shirika mpya linalofuatilia unywaji wa pombe duniani.
Soko la kimataifa la pombe lilipingua kwa asilimia 1.3 mwaka wa 2016, hali iliyosababishwa na kushuka kwa ununuzi wa pombe kwa asilimia 1.8.
Uuzaji wa pombe ya Cider ulishuka kwa asilimia 1.5 baada ya miaka kadhaa ya kufanya vizuri.
- Tiger Woods: Sikuwa nimekunywa pombe
- Mbunge apendekeza bima kwa wanywaji pombe Kenya
- Mahakama: Vipimo vya unywaji pombe havifai Kenya
Uuzaji wa pombe nchini China ulishuka kwa asilimia 4.2, huku nchini Brazil na Urusi ukishuka kwa asilimia 5.3 na 7.8 mtawalia.
SHARE
No comments:
Post a Comment