wanafunzi wa shule ya kimataifa, Feza ya jijini Dar es Salaam, Abdulrazak Juma, (kushoto), Rashid Jakaya Kikwete (katikati) na Abdallah Rubeya wakiwa
na furaha baada ya kushinda medani za dhahabu kwenye mashindano ya
Genus Olympian nchini Marekani juzi. Zaidi ya nchi 63 Dunian kote
zilishiriki mashindano hayo.
|
No comments:
Post a Comment