TRA

TRA

Tuesday, June 20, 2017

MTOTO WA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AONGOZA WENZAKE KUNYAKUA MEDALI ZA DHAHABU MASHINDANO YA GENIUS OLYMPIAN NCHINI MAREKANI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


wanafunzi wa shule ya kimataifa, Feza ya jijini Dar es Salaam, Abdulrazak Juma, (kushoto), Rashid Jakaya Kikwete (katikati) na Abdallah Rubeya wakiwa na furaha  baada ya kushinda medani za dhahabu kwenye mashindano ya Genus Olympian nchini Marekani juzi. Zaidi ya nchi 63 Dunian kote zilishiriki mashindano hayo.
 

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger