Nyumba hii yenye vyumba tisa ipo katika mtaa wa kifahari wa Kalorama Washington DC Marekani na imeripotiwa walikua wakiishi humo kwa siku nyingi kama Wapangaji lakini sasa wameamua kuinunua.
Taarifa ya BBC inasema Msemaji wa Obama amenukuliwa akisema Famili ya Obama itaendelea kuwepo Washington DC kwa kama miaka miwili na nusu hivyo nyumba ina umuhimu kwao.
SHARE
No comments:
Post a Comment