Ikulu ya Marekani imethibitisha kuwa
Rais Donald Trump atakutana na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin wiki
ijayo, ikiwa ni maandalizi ya mkutano wa nchi 20 zilizoendelea zaidi
kiuchumi duniani (G20).
Mshauri wa masuala ya ulinzi wa Marekani H.R. MacMaster amesema bado hakuna mada maalumu iliyopendekezwa.
Mapema msemaji wa ikulu ya Kremlin alithibitisha uwepo wa mkutano huo.
SHARE
No comments:
Post a Comment