Ofisi ya Mwanasheria Mkuu nchini Venezuela imemtaka mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi kutoa maelezo juu ya matumizi ya nguzu zilizopitiliza dhidi ya
mamiz ya waandamanaji wanaoipinga serikali nchini humo.
Antonio Benavides anatarajiwa kuhojiwa siku Julai sita.
Aliondolewa madarakani wiki iliyopita, baada ya polisi aliowapa maelekezo kuonekana wakiwafyatulia risasi waandamanaji.
Zaidi ya watu 80 wameuawa katika maandamano ya miezi mitatu ya kupinga utawala wa Rais Nicolas Maduro.
CHANZO: BBC
SHARE
No comments:
Post a Comment