TRA

TRA

Friday, June 30, 2017

Mkuu wa Jeshi la Polisi kuhojiwa kwa matumizi ya nguvu

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 
 Antonio Benavides anasema ni vigumu kutumia njia ya   kawaida kuwakabili waandamanaji wasiochoka


Ofisi ya Mwanasheria Mkuu nchini Venezuela imemtaka mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi kutoa maelezo juu ya matumizi ya nguzu zilizopitiliza dhidi ya mamiz ya waandamanaji wanaoipinga serikali nchini humo.

Ofisi hiyo imesema kuwa kuna ushahidi wa kutosha juu ya matumizi ya nguvu zilizopitiliza kwa waandamanaji.
Antonio Benavides anatarajiwa kuhojiwa siku Julai sita. 

Aliondolewa madarakani wiki iliyopita, baada ya polisi aliowapa maelekezo kuonekana wakiwafyatulia risasi waandamanaji.
Zaidi ya watu 80 wameuawa katika maandamano ya miezi mitatu ya kupinga utawala wa Rais Nicolas Maduro.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger