Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akibadilishana mawazo na Spika wa Bunge Job
Ndugai katika Futari iliyoandaliwa na Spika kwa ajili ya Wabunge,
Wafanyakazi wa Bunge na Wageni waalikwa katika viwanja vya Bunge Mjini
Dododma, June 20, 2017
Baadhi
ya Wabunge wakibadilishina mawazo wakati wa futari iliyo andaliwa na
Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai , kutoka kulia, Mbunge wa Ilala
Idd Zungu. katikati Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge .na
kushoto ni Mbunge wa Mbarali Haroon Mulla .Futari hiyo ilifuturiwa
katika viwanja vya Bunge June 20, 2017 Mjini Dodoma Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu
SHARE
No comments:
Post a Comment