Ferrer ameshinda taji hili mwaka 2007 na 2012
Ferrer ameshinda taji hili mwaka 2007 na 2012

David Ferrer amemchapa Alexandr Dolgopolov na kufanikiwa kuwa bingwa wa michuano ya Swedish Open.
Ferrer ameshinda kwa seti 6-4 6-4 na kupata taji la 27 kwenye historia yake katika mchezo uliokuwa na ushindani mkali.
Ferrer anashika nafasi ya 46 kwa ubora duniani.
SHARE
No comments:
Post a Comment