TRA

TRA

Monday, July 10, 2017

HATARI. SIMBA WANNE WATOROKA MBUGA YA TAIFA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 
Walinzi wa mbuga nchini Afrika Kusini wanawatafuta simba wanne waliotoroka kutoka mbuga ya kitaifa.

Simba hao walitoroka kutoka mbuga ya Kruger siku ya Jumapili na mara ya mwisho walionekana katika kijiji cha Matsulu.

Usimamizi wa mbuga hiyo sasa umewataka wenyeji kuchukua tahadhari
Haijabainika vile simba hao walifanikiwa kutoroka kutoka mbuga hiyo inayozungukwa na ua.


 Simba wanne watoroka mbuga ya taifa Afrika Kusini
 
Mbuga ya kitaifa ya Kruger ni moja ya mbuga kubwa zaidi barani Afrika ikiwa na ukubwa wa kilomita 19.485 mraba.

Kisa hiki kinatokea baada ya simba wengine watano kutoroka mbuga hiyo mwezi Mei. Wanne walipatikana lakini mmoja bado hajulikani aliko.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger