TRA

TRA

Monday, July 17, 2017

Mourinho: Hakuna uwezekano wa Ronaldo kuhamia Manchester United

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 
Meneja wa Manchester United amekana kuwa kuna mpango wa kumsaini Cristiano Ronaldo kutoka Real Madrid.

BBC iliripoti mwezi Juni kuwa Ronaldo alikasirishwa baada ya kushutumiwa kukwepa kulipa kodi na anataka kuondok Uhispania.

Kujiunga na Manchester United, klabu ambayo aliihama kwa kima cha pauni milioini 180 mwaka 2009 kilitajwa kama kile angeweza kuhamia.
 Ronaldo
Lakini baada ya kuulizwa kuhusu uwezekani huo, Mourinho alisema kuwa hilo haliwezi kufanyika kutokana na hali ngumu wa kiuhumi kuwezesha kandarasi kama hiyo.

"Ronaldo ni mchezaji muhimu sana kwa klabu yake. Mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kiuchumi. Hatujapa sababu yoyote ambayo itasababisha tufikirie kuwa Ronald anaweza kuondoka."

Maourinho aliongeza kuwa haamini kama mchezaji mwingine wa Real Madrid, Alvaro Morata anaweza kuhamia Manchester United.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger