TRA

TRA

Saturday, July 15, 2017

MSANII JUMA NATURE AFUNGUKA KUHUSU MUZIKI WA BONGO FLEVA KWA SASA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Msanii mkongwe wa Bongo Flava, Juma Nature ametoa mtazamo wake kwa namna anavyoona game ya muziki huo kwa sasa.
Juma Nature ameiambia Planet Bongo ya EA Radio kuwa game ipo vizuri ili kumekuwa na tatizo la wasanii kuigana style katika vitu vingi.
“Game nzuri tu sema watoto wanaigana hiyo ndio tofauti ninayoiona mimi. Wanaokaza nadhani kwa asilimia kubwa ni wale wanaoimba hip hop hata nikisikiliza mashairi yao, style zao, beat zao wanakaza, kama Mr Blue, Young Dee na Young Killer nawaeleza kwa sababu watu wote watuwezi tukapenda kitu kimoja,” amesema Juma Nature.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger