TRA

TRA

Saturday, July 15, 2017

MSANII KAYUMBA AFUNGUKA SABABU ZINAZOFANYA ASITUMIE JINA LAKE VIBAYA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Msanii Kayumba kutoka Mkubwa na Wanawe ambaye pia ni mshindi wa shindano la BSS 2015, amefunguka sababu zinazomfanya asitumie jina lake vibaya.
Fid Q amewahi kurap kwenye wimbo wake ‘Agosti 13’ kuwa “Ustaa ni mzigo wa mwiba, ukiubeba utaumia.” Kupitia kipindi cha Zero Planet cha Ice FM ya Njombe, muimbaji huyo amesema msanii ni kioo cha jamii na kila kitu ukifanya jambo baya heshima yako inapungua.
“Msanii ni kioo, kwa hiyo mimi nikifanya jambo la ajabu linaweza kunishusha. Kwa hiyo heshima pia inapungua, so msanii ni heshima na msanii ni kioo. Msanii ni kila kitu,” ameongeza kuweka mkazo katika tofauti ya watu hao wawili.
Kayumba kwa sasa ameachia ngoma mpya aliyomshirikisha Aslay inaitwa ‘Mtoto Mbichi’.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger