TRA

TRA

Tuesday, July 11, 2017

Mshikemshike Uchaguzi Mkuu DRC

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


      JOSEPH KABILA

KINSHASA, DRC

Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC), imesema uwezekano wa uchaguzi mkuu kufanyika mwaka huu ni mgumu.

Wakati hali ikiwa hivyo, Rais Joseph Kabila inadaiwa kuwa amegoma kuachia madaraka licha ya Katiba ya nchi kutaka afanyie hivyo.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger