TRA

TRA

Tuesday, July 11, 2017

SHAMBULIO KALI. WANAJESHI 10 WA MALI WAPOTEANA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !




    Wanajeshi wa Mali

BAMAKO, MALI

WANAJESHI takriban 10 wa Mali wamepoteana baada ya kufanyiwa kushambuliwa na wapiganaji wa itikadi kali, Jeshi la nchi hiyo limesema.

Walishambuliwa wakiwa katikati ya miji ya Gao na Menako siku ya Jumapili, alisema Msemaji wa jeshi, Kanali Diarran Kone. Inadaiwa kuwa wapiganaji hao wana uhusiano na mtandao wa al Qaeda.

"Tumevamiwa, wanajeshi wetu takriban wamepotezana na magari yetu manne yamepotea. Tunafanya tathmini halisi ya tukio hili," alisema Kone.

Wapiganaji hao wanashikilia eneo kubwa kaskazini mwa Mali tangu mwaka 2012. Jitihada zinazofanywa na majeshi yanayoongozwa na Ufaransa bado hazijazaa matunda kukabiliana na wapiganaji hao ambao hufanya mashambulizi ya kushtukiza.

 Hata hivyo, hali ya usalama  inatia matumaini tofauti na siku za nyuma.  

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger