Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa
ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa (kulia) akimkabidhi zawadi aliyekuwa
Mtaalamu Mkuu Utawala kutoka Benki ya Dunia, Dkt. Verena Knippel wakati
wa hafla fupi ya kumuaga mara baada ya kumaliza muda wake wa kufanya
kazi hapa nchini. Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam katika
ukumbi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS).
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa
ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa (kulia) akizungumza jijini Dar esa
Salaam wakati wa hafla ya kumuaga aliyekuwa Mtaalamu Mkuu Utawala kutoka
Benki ya Dunia, Dkt. Verena Knippel katika ukumbi wa Ofisi ya Taifa ya
Takwimu (NBS).
Aliyekuwa Mtaalamu Mkuu Utawala
kutoka Benki ya Dunia, Dkt. Verena Knippel (kushoto) akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kumuaga baada ya kumaliza muda
wake wa kufanya kazi hapa nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa
ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa (kulia) akimpongeza aliyekuwa Mtaalamu
Mkuu Utawala kutoka Benki ya Dunia, Dkt. Verena Knippel (kushoto) wakati
wa hafla ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi hapa
nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa
ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa (wa sita kushoto) akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa NBS pamoja na aliyekuwa Mtaalamu Mkuu
Utawala kutoka Benki ya Dunia, Dkt. Verena Knippel (wa tano kushoto)
wakati wa hafla ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi
hapa nchini.
SHARE
No comments:
Post a Comment