TRA

TRA

Saturday, July 15, 2017

PICHA: KELVIN YONDANI APATA JIKO RASMI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



TAARIFA njema ikufikie popote ulipo kuhusu beki kisiki wa Yanga, Kelvin Patrick Yondani ambaye ameamua kuachana na ukapera.
Mkali huyo alianza kwa Send Off kisha akamalizia mambo na mzazi mwenzake ambaye ameishi naye miaka mingi.
Yondani anaingia kwenye orodha moja na wanasoka kama Emmanuel Okwi, Ibrahim Ajib, Mwinyi Kazimoto ambao ni wanacheza Ligi Kuu Tanzania Bara.
Hongera Yondani kwa kuamua kufanya kweli.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger