TRA

TRA

Saturday, July 15, 2017

UMEISIKIA HII YA AY KUMVALISHA MPENZI WAKE PETE?

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 

Baada ya AY kumvalisha pete ya uchumba mpenzi wake Remy kutoka Rwanda kisha kuingia kwenye headline Julai 14, 2017 kupitia U-heard ya XXL ya Clouds FM amelielezea tukio hilo akisema ni surprise kwani karibu ya asilimia 70 ya watu wake wa karibu hawakuwa na taarifa.

AY alisema alimfanyia kama surprise baada ya kumuita ili kumpongeza mpenzi wake huyo baada ya kuhitimu ndipo akaamua kumvalisha na pete ya uchumba.

"Ilikuwa Surprise kwa watu wote kama asilimia 70 hivi. Nipo hivyo si mtu wa kuweka mambo mengi wazi kwa watu. Ilifanyika sehemu flani mimi mwenyewe naipenda. Pete ina madini ya Tanzanite na Diamond. Aliona ni kitu kikubwa kwake maana alikuwa amegraduate Engineering so nikamuita kama kumpongeza,"  AY.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger