TRA

TRA

Friday, July 7, 2017

Una ugonjwa wa Kisonono? Hebu soma habari hii

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Kisonono chapata sugu dhidi ya dawa zake

Shirika la Afya Duniani (WHO), limetoa tahadhari kuwa ugonjwa wa zinaa wa kisonono umeanza kuwa sugu dhidi ya dawa ya kupambana na ugonjwa huo. 

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa katika mataifa 77 tofauti duniani, WHO imebaini kuwa maambukizi ya ugonjwa huo nchini Japan, Ufaransa na Uhispania, hayatibiki kabisa.
 Mtaalamu akitoa maelezo ya kisayansi kuhusiana na  magonjwa

Hata hivyo, shirika hilo linasema wengi wanaoambukizwa ugonjwa huo wako katika nchi masikini, ambazo zinavifaa duni kudhibiti ugonjwa huo.

Shirika hilo la Afya duniani linasema kufanya mapenzi bila ya kuingiliana na watu wachache wanaotumia kondomu kunasaidia kuenea kwa ugonjwa huo wa Kisonono.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger