• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Volvo kuanza kuunda magari yanayotumia umeme ufikapo mwaka 2019

Volvo kuanza kuunda magari yanayotumia umeme ufikapo mwaka 2019

at 6:45 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

    Kampuni ya kuunda magari ya Volvo imesema kuwa magari yake mapya yatakuwa yanatumia umeme kuanzia mwaka 2019.

    Kampuni hiyo ya kichina imekuwa kampuni ya kwanza ya zamani iliyoanza kusitisha uundaji wa magari ya zamani yanayotumia mafuta.

    Ina mipango ya kuzindua aina tano ya magari yanayotumia umeme kati ya mwaka 2019 na 2021 na mengine yanayotumia umeme na mafuta.
     Gari la Volvo kwenyr maonyesho China

    Lakini pia itakuwa ikiunda magari ya zamani yanayotuumia mafuta.
    • Uber teksi kuzindua magari yanayojiendesha
    • Volvo yashindwa kuongoza kimauzo Sweden
    • Jinsi magari yasiyo na dereva hukanganywa na kangaroo.
    • Uber yaondoa magari yanayojiendesha barabarani
    Volvo ina mipango ya kuuza magari milioni moja yanayotumia umeme ifikapo mwaka 2025.

    "Tangazo hili liaadhimisha mwanzo wa misho wa injini za zinazotumia mafuta," amesema Hakan Samuelsson, mkurugenzi mkuu wa kitengo cha kuunda magari ya Volvo.

    Hii ni baada ya kampuni ya Marekani ya Tesla kutangaza Jumapili kuwa itaanza kuuza magari yake yanayotumia umeme ya Model 3 ifikapo mishoni mwa mwezi huu.

    Elon Musk, mwanzilishi wa Tesla alifanikiwa kuunda magari 20,000 ya Model 3 kila mwezi hadi Disemba iliyopita.
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • Maskini Joyce Banda. Polisi Malawi watoa hati akamatwe
        LILONGWE- POLISI nchini, wametoa kibali cha kukamatwa kwa Rais wa z...
    • RAIS AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI
      R...
    • IJUE GHARAMA YA SAFARI MOJA YA RAIS WA JAMHURI NJE YA TANZANIA
      Kitendo cha Rais Dkt John Pombe Magufuli kutohudhuria mialiko 44 kati ya 47 aliyoalikwa kwenda nchi za nje kimesaidia kuokoa z...

    Popular Posts

    • Maskini Joyce Banda. Polisi Malawi watoa hati akamatwe
        LILONGWE- POLISI nchini, wametoa kibali cha kukamatwa kwa Rais wa z...
    • RAIS AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI
      R...
    • IJUE GHARAMA YA SAFARI MOJA YA RAIS WA JAMHURI NJE YA TANZANIA
      Kitendo cha Rais Dkt John Pombe Magufuli kutohudhuria mialiko 44 kati ya 47 aliyoalikwa kwenda nchi za nje kimesaidia kuokoa z...
    • FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17
      FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17
      Na Faustine Ruta, Bukoba Timu ya Vijana U17 ya Burudi leo kwenye uwanja wa Kaitaba imeanza mchezo wake wa kwanza wa kirafiki ...
    • MSANII KAYUMBA AFUNGUKA SABABU ZINAZOFANYA ASITUMIE JINA LAKE VIBAYA
      Msanii Kayumba kutoka Mkubwa na Wanawe ambaye pia ni mshindi wa shindano la BSS 2015, amefunguka sababu zinazomfanya asitumie jina lak...
    • KATIBU WA BUNGE AKAGUA UKARABATI JENGO LA BUNGE
      KATIBU WA BUNGE AKAGUA UKARABATI JENGO LA BUNGE
      Mkurugenzi wa kampuni ya Jaffery Industry Saini LTD Ndg. Vinshal Singh Saini akitoa maelezo juu ya hatua iliyofikiwa katika ufuga...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger