• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Home > > Volvo kuanza kuunda magari yanayotumia umeme ufikapo mwaka 2019

Volvo kuanza kuunda magari yanayotumia umeme ufikapo mwaka 2019

at 6:45 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

    Kampuni ya kuunda magari ya Volvo imesema kuwa magari yake mapya yatakuwa yanatumia umeme kuanzia mwaka 2019.

    Kampuni hiyo ya kichina imekuwa kampuni ya kwanza ya zamani iliyoanza kusitisha uundaji wa magari ya zamani yanayotumia mafuta.

    Ina mipango ya kuzindua aina tano ya magari yanayotumia umeme kati ya mwaka 2019 na 2021 na mengine yanayotumia umeme na mafuta.
     Gari la Volvo kwenyr maonyesho China

    Lakini pia itakuwa ikiunda magari ya zamani yanayotuumia mafuta.
    • Uber teksi kuzindua magari yanayojiendesha
    • Volvo yashindwa kuongoza kimauzo Sweden
    • Jinsi magari yasiyo na dereva hukanganywa na kangaroo.
    • Uber yaondoa magari yanayojiendesha barabarani
    Volvo ina mipango ya kuuza magari milioni moja yanayotumia umeme ifikapo mwaka 2025.

    "Tangazo hili liaadhimisha mwanzo wa misho wa injini za zinazotumia mafuta," amesema Hakan Samuelsson, mkurugenzi mkuu wa kitengo cha kuunda magari ya Volvo.

    Hii ni baada ya kampuni ya Marekani ya Tesla kutangaza Jumapili kuwa itaanza kuuza magari yake yanayotumia umeme ya Model 3 ifikapo mishoni mwa mwezi huu.

    Elon Musk, mwanzilishi wa Tesla alifanikiwa kuunda magari 20,000 ya Model 3 kila mwezi hadi Disemba iliyopita.
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
        Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
    • Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
      Mahakama ya juu ya Urusi imepitisha uamuzi unaopiga marufuku madhehebu ya Mashahidi wa Yehova nchini humo.  Uamuzi huo umeamuru kufu...
    • Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
      Baraza la uangalizi nchini Iran limemzuia rais wa zamani wa nchi hiyo Mahmoud Ahmadinejad kuwa mgombea katika uchaguzi wa rais utakaofan...

    Popular Posts

    • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
      ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
        Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
    • Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
      Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi
      Mahakama ya juu ya Urusi imepitisha uamuzi unaopiga marufuku madhehebu ya Mashahidi wa Yehova nchini humo.  Uamuzi huo umeamuru kufu...
    • Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
      Ahmadinejad azuiliwa kugombea tena urais wa Iran
      Baraza la uangalizi nchini Iran limemzuia rais wa zamani wa nchi hiyo Mahmoud Ahmadinejad kuwa mgombea katika uchaguzi wa rais utakaofan...
    • SERIKALI IMETENGA SHILINGI BILIONI 11.4 KUBORESHA WAKALA WA NDEGE ZAKE
      SERIKALI IMETENGA SHILINGI BILIONI 11.4 KUBORESHA WAKALA WA NDEGE ZAKE
      Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye akiongea na wajumbe wa Menejimenti ya Wakala wa Ndege za S...
    • DAAH. DSTV KIBOKO HEBU NENDA SABASABA UONE MAMBO YAO
        Meneja Masoko wa Multichoice-Tanzania, Alpha Mria  na Afisa Masoko wa Multichoice Tanzania Shumbana Walwa kushoto  ...
    • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
      ...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger