TRA

TRA

Tuesday, July 18, 2017

WAKASO ATUA ALAVES, WEST BROM YAMSAJILI HEGAZ

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 


Mchezaji wa kimataifa wa Ghana Mubarak Wakaso amesaini mkataba wa miaka mitatu kujiunga na klabu ya Alaves ya nchini Hispania.

Mchezaji huyu amejiunga na timu hiyo akitokea Panathinaiko ya Ugiriki, Wakaso anauzoefu wa ligi ya Hispania la Liga, ambapo aliwahi kuvichezea vilabu vya Granada, Las Palmas, Espanyol, Villareal na Elche.
 Ahmed Hegazi (kulia) alipokua akiichezea Fiorentina ya Italia

Nayo klabu ya West Bromwich Albion ya nchini England, imemsajili beki wa Misri Ahmed Hegazi kwa mkopo akitokea klabu ya Al Ahly.

Hegazi alirejea nyumbani kwao Misri na kujiunga na Al Ahly mwaka 2015, baada ya kuondoka katika klabu ya Fiorentina kwa kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger