
Baada
ya kusikika kwenye Uheard ya August 2, 2017 waliokuwa wanandoa Nuh
Mziwanda na Nawali wanaodaiwa kutengana baada ya kutoishi karibu kama
awali huku Nuh Mziwanda akidaiwa kurudi kwenye dini yake ya zamani.
“Nuh kashantoka nina mume mwingine kwani hamna habari..? mume wangu hataki mambo ya nini nini.”
Nuh Mziwanda amepost maneno yanayoashiria kuwa Nawal ameolewa
na mtu mwingine baada ya ujumbe wa kumpongeza na kumtakia maisha mema
yeye na mume wake huyo mpya huku Nawal akifuta picha zake zote alizokuwa
amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram.
”Nimeona
Nawal na hongera sana Mungu akusimamie wewe na Mumeo katika ndoa
yenu’pia shikamoo bwana harusi mana ulikua unanyapia kitambo sana halafu
sijui ‘ndio mana bidada sababu nyingi mradi urudi kwenu ‘kumbe mipango
ya ndoa doh’ (kama movie hivi ila )” – Nuh Mziwanda
SHARE
No comments:
Post a Comment