TRA

TRA

Friday, August 4, 2017

NUH MZIWANDA ANDIKA UJUMBE HUU KUHUSU MKE WAKE KUOLEWA NA MWANAUME MWINGINE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Baada ya kusikika kwenye Uheard ya August 2, 2017  waliokuwa wanandoa Nuh Mziwanda na Nawali wanaodaiwa kutengana baada ya kutoishi karibu kama awali huku Nuh Mziwanda akidaiwa kurudi kwenye dini yake ya zamani.

“Nuh kashantoka nina mume mwingine kwani hamna habari..? mume wangu hataki mambo ya nini nini.” 
 Nuh Mziwanda amepost maneno yanayoashiria kuwa Nawal ameolewa na mtu mwingine baada ya ujumbe wa kumpongeza na kumtakia maisha mema yeye na mume wake huyo mpya huku Nawal akifuta picha zake zote alizokuwa amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram.
”Nimeona Nawal na hongera sana Mungu akusimamie wewe na Mumeo katika ndoa yenu’pia shikamoo bwana harusi mana ulikua unanyapia kitambo sana halafu sijui ‘ndio mana bidada sababu nyingi mradi urudi kwenu ‘kumbe mipango ya ndoa doh’ (kama movie hivi ila )” – Nuh Mziwanda

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger