TRA

TRA

Friday, August 4, 2017

SABABU ZA JACQUELINE WOLPER KUJA NA APP YAKE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Msanii wa Filamu Bongo Jacqueline Wolper ameeleza sababu za yeye kuamua kuja na App.

Wolper atakuwa msanii wa pili kutoka katika tasnia ya filamu kufanya hivyo baada ya Wema Sepetu. Wolper amesema moja ya sababu ni kuwa karibu na mashabiki zake na kuwaepusha kupata taarifa za uongo kuhusu yeye.
 
“Yeah ni kweli nataka kuja na App yangu na sababu kubwa ambayo imenifanya niwe na App ni kwa sababu mashabiki wengi wanatamanigi kujua vitu vyetu kwa undani kwa sababu wanakutana na facebook fake, wanakutana na mastori fake kwa hiyo ukiwa na App ni kitu kikubwa zaidi kuwaweka mashabiki zako karibu,” alisema Wolper.

Pia ameongeza kuwa“Kuchart nao kuwajibu maswali yao na chochote ambacho wanakisikia wewe unawanyooshea maelezo”.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger